Basi lagonga nyumba na kujeruhi watano

Watu watano wamejeruhiwa baada ya basi kugonga nyumba moja.
Basi hilo liligonga nyumba hiyo iliopo huko Homer Green karibu na mji wa Wycombe nchini Uingereza.Abiria watatu walijeruhiwa huku mwanamme na mwanamke waliokuwa ndani ya nyumba hiyo pia wakijeruhiwa.
Via>>BBC

Chapisha Maoni

0 Maoni