Hii kali: Mzee wa miaka 75 aweka bango la sifa za mke anayemtaka katikati ya mtaa anaoishi.



Mzee wa miaka 75 nchini Tanzania ameweka bango lenye sifa za mke anayemtaka, katikati ya mtaa anaoishi.
Athuman Bakari Mchambua mkazi wa Dar es Salaam amechukua hatua hiyo baada ya kifo cha mke wake.
Amesema hawezi kutumia njia nyingine yoyote isipokua udahili ama mahojiano kumpata mke. - BBC

Chapisha Maoni

0 Maoni