Inasikitisha: Mtoto wa miaka mitano, shabiki wa Sunderland abakiza miezi miwili tu ya kuishi, madaktari wathibitisha.


Mtoto huyu anaitwa, Bradley Lowery, ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya Sunderland.

Ana miaka mitano na tayari madaktari wamethibitisha kuwa amebakiza miezi miwili tu kabla kansa haijakatiza pumzi
zake na kuupeleka mwili wake futi 6 chini ya Ardhi.

Kuna kaburi liko wazi tayari likimsubiri Bradley.

Kitu chake cha mwisho kabisa alichokiomba duniani ni zawadi ya kadi ya Krismasi, kadi tu inamtosha kukifanya kifo chake kuwa na amani.

#Everybody dies but not everyone has lived..So sad

Chapisha Maoni

0 Maoni