VIDEO: Belle Tisa na Gnako kwenye ngoma mpya na muonekano mpya.

Tunaofatilia bongofleva toka kitambo tunamfahamu Belle 9, ni mkali mwingine kutoka Morogoro ambapo leo hii ameshirikiana na G Nako kutuletea burudani mpya iitwayo ‘give it to me’ na ukishamaliza kuitazama hii video usiache kusema chochote kwenye comment



Chapisha Maoni

0 Maoni