Baada ya kutwaa tuzo tatu kimasomaso za EATV Awards, King Kiba atumbuiza kwenye tamasha Afrika Kusini.

Fresh kutoka kuchukua tuzo tatu za EATV Awards, Jumamosi hii, Alikiba alikwea pipa hadi jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenda kutumbuiza kwenye, Mkhaya Migrants Awards. Zimetolewa Jumapili hii.


Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini kuwatuza wahamiaji wanaofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali nchini humo.

Chapisha Maoni

0 Maoni