Diamond amsifu Nahreel kwa kuvumbua kipaji cha Rose Ree, adai ndiye rapper anayempenda hapa Bongo kwa sasa

Diamond Platnumz ampongeza mtayarishaji na muimbaji wa kundi la Navy Kenzo, Nahreel.


Hitmaker huyo wa Salome ameonyeshwa kufurahishwa na Nahreel kwa kukitambulisha kipaji cha rapper wa kike kutoka lebo ya The Industry, Rosa Ree.

Kupitia mtandao huo, Diamond ameandika:

A big birthday wishes to the Most talented Bway @nahreel … Unapambana sana Mwanangu, Mungu aendelee kukufungulia wewe pamoja na team yako nzima ya the Industry… But all n all Shukran kwa kututambulisha kwa huyu dada…. one of My Favorite Female Rapper and Song at the moment! #OneTime @rosa_ree 💥🔫 Tazama Video ya Rapper huyo hapa: 



Chapisha Maoni

0 Maoni