Geofrey Mungai akabidhi chakula na pessa kwa watoto yatima kituo cha Tosamaganga

Mfanyabiashara mjini Iringa Geofrey Mungai leo amekabidhi msaada wa chakula , nguo na pesa kwa ajili ya kuwawezesha watoto yatima kitio cha Tosamaganga kusherekea sikukuu ya krismas na mwaka mpya , msaada wenye thamani ya Tsh milioni 1.5 

Chapisha Maoni

0 Maoni