Meya wa Jiji la Dar: Kupanda kwa tozo za maegesho si dhambi

Meya mwenye ushawishi mkubwa, Mstahiki Isaya Charles Mwita(CHADEMA) akihojiwa katika kipindi cha Joto la Asubuhi juu ya sintofahamu ya kuongezeka kwa tozo za maegesho katika viunga vya jiji la Dar amesema kuwa,


"Kupandisha shilingi 200 hadi kufikia shilingi 500 kwenye maegesho ya magari sio dhambi, tunataka kuijenga Dar es Salaam ambayo vyanzo vyake vikuu vya mapato ni sisi wana Dar es Salaam".

Chapisha Maoni

0 Maoni