Tume ya mipanga yatembelea kiwanda cha vinywaji cha Azam

Meneja anayesimamia Ubora wa Bidhaa, Lilian Mwashigadi (aliyevaa koti jeupe) akiwaonesha maofisa wa ukaguzi wa miradi kutoka Tume ya Mipango hatua za mwisho za uzalishaji wa juisi katika kiwanda cha uzalishaji wa vinywaji kilichopo eneo la Mwandege Mkoani Pwani.

 Meneja anayesimamia Ubora wa Bidhaa, Bibi Lilian Mwashigadi (mwenye koti jeupe) akionesha mtambo unaotumika katika uzalishaji katika kiwanda hicho.
Wataalam kutoka Tume ya Mipango wakimsikiliza Meneja anayesimamia Ubora wa Bidhaa, Bibi Lilian Mwashigadi wakati wa ziara ya Tume ya Mipango katika kiwanda cha uzalishaji wa vinywaji kilichopo eneo la Mwandege Mkoani Pwani.
 Meneja anayesimamia Ubora wa Bidhaa, Bibi Lilian Mwashigadi pamoja na wataalamu kutoka Tume ya Mipango wakiwa wameshika vichupa vidogo vinavyotanuliwa kwenye mitambo na kuwa chupa kubwa za kufungashia kunywaji aina ya Energy.
 Bidhaa ya vinywaji aina ya Energy katika hatua za mwishoni za uzalishaji.

Chapisha Maoni

0 Maoni