Jeshi la Polisi lawakamata wahamiaji haramu 81 Bagamoyo Mkoani Pwani

Jeshi la Polisi Bagamoyo mkoani Pwani limekamata wahamiaji haramu 81 waliokuwa wakitokea Mombasa nchini Kenya kuelekea Afrika Kusini
baada ya kutelekezwa porini katika kijiji cha Kingani Bagamoyo na baadaye kujitokeza pembezoni mwa bahari ya Hindi katika harakati za kutafuta chakula baada ya kushikwa na njaa.

Chapisha Maoni

0 Maoni