VIDEO: Kingunge atoa tathmini ya miaka 55 ya uhuru, asema haya







​
==========

Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwilu atoa tathmini ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika.



Akichambua masuala mbalimbali Mzee Kingunge ameelezea mambo yaliyofanywa na serikali ya awamu ya kwanza na kuzungumzia mambo kadhaa ya tawala zilizofuata.

Katika nyanja ya maendeleo ya kijamii Mzee Kingunge amesema kuwa kwa awamu ya kwnza ilinaanzia kwenye elimu na afya

Uchumi na kwa upande wa uchumi basi kwa wakati huo ilijumuisha wananchi woote kwa kazi kwa bidii.

Aidha Mzee Kingunge ameelezea kuwa kwa sasa taifa linaongozwa bila ya kufuata mipango ya ndeleo, wanachi wanataka maendeleo na viongozi wanataka maendeleo lakini kikwazo ni katika upangaji wa maendeleo.

Chapisha Maoni

0 Maoni