Steve Nyerere amponda Erick Omondi, adai watanzania wanaomkubali ni wajinga


Mwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji.

Chapisha Maoni

0 Maoni