Air force one ikiwa ndio ndege inayombeba Rais wa Marekani na ndio
inayotumika katika ziara zote za Rais yoyote yule wa taifa kubwa
duniani.
Air Force one inakadiriwa kuwa na urefu ka gorofa sita au saba na upana
wa ndege za kawaida mbili. Kwa ndani Air Force One ina kila kitu
ambacho ungeweza kukiona ndani ya nyumba ya kifahari au office kubwa;
Kuna Office maarum ya Rais, kuna hoteli kubwa kwa ajili ya vyakula na
vinywaji.
Inaelezwa kwamba Air Force one imewekewa mitambo mikubwa ya kisayansi
kiasi kwamba Rais anauwezo wa kuongoza Taifa lake huku akiwa ndani ya
ndege au kutoa taarifa yoyote kwa taifa lake. Air force one ni ndege
ambayo haipitishi risasi na ni ndege ya vita ambayo inauwezo wa kufanya
mashambulizi ya kivita na pia ina mwendo wa kasi kama chopa za kivita..
0 Maoni
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA