Ligi kuu bara: Haya hapa matokeo ya mechi kati ya Simba na Mtibwa Sugar



Mchezo wa Kirafiki kati ya Simba na Mtibwa Sugar umemalizika kwa Mtibwa Kuoata Ushindi wa Mabao mawili kwa moja (2 kwa 1) .



Ndugu mtembeleji wetu wa MAHENGA BLOG magoli ya Mtibwa yalifungwa na Mbonde na Jaffary Salumu huku bao la Simba Likifungwa na Mo Ibrahim

Chapisha Maoni

0 Maoni