Milion 50 za Paul Makonda kushindaniwa na wasanii wawili, Banana Zoro vs Christian Bella

Mkuu wa mko wa Dar es salaam mh Paul Makonda amejitolea kuandaa mpambano mkali sana wa kugombea Tsh 50 millions baina ya wasanii wawili waotumbuiza muziki kupitia live band kati ya king of the best melody Christian bella dhidi ya mkongwe Banana Zoro!


Mkuu huyo wa mkoa ameyasema hayo katika hafla yake fupi ya kujipongeza baada ya ziara ya siku 10 ya kutatua kero za wana Dar es salaam, pia amesema yeye binafsi ni mpenzi wa muziki unaopigwa live.

My take: Wakazi wa Dar es salaam kero zao zimekwisha tatuliwa na mheshimiwa, ndio maana kaamua kuanzisha tamasha hili la watu wawili tu likimtaka mshindi mmoja (winner take all).

Chapisha Maoni

0 Maoni