Sheikh Mponda amtembelea Lema gerezani leo

Shekh Ponda amtembelea mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ktk gereza kuu la Arusha leo, na kusema Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote, pia alimtia
moyo Lema na kumwambia sikupi pole nakupa hongera haya unayoyapitia niliwahi kupitia lkn usirudi nyuma songa mbele.

Chapisha Maoni

0 Maoni