Wahariri walitaka jeshi la polisi kumwachia mwanzilishi wa jamiiforums mara moja


Wahariri Nchini (TEF) limelitaka Jeshi la Polisi kumuachia mara moja Mwanzilishi wa JamiiForums, Maxence Melo bila masharti yoyote.



TEF imesema inatetea haki ya uhuru wa kutoa mawazo na kukataa ukandamizaji wa polisi wanaodai wana maelekezo kutoka juu.

Jukwaa hilo limesema taarifa walizonazo zinaonyesha kuwa polisi wanaomshikilia Melo wanajiapiza kuwa hata kama mawakili wake watakwenda mahakamani hawatamwachia hadi atekeleze wakitakacho.

Chapisha Maoni

0 Maoni