WAITARA AL MANUSURA AZICHAPE NA MBUNGE WA CCM, ANGALIA PICHA AKITOLEWA NJE NA POLISI

Mbunge Waitara (CHADEMA) alizua timbwili hilo baada ya kumsogelea mbuge wa kigoma vijijini Augustine Holle (CCM) baada ya kumuita Tundu Lisu kuwa ana ugonjwa wa akili.

PICHA: Waitara akitolewa na polisi jana Alhamisi 4 bungeni Dodoma.

Chapisha Maoni

0 Maoni