Viongozi wa Klabu ya Simba nawaomba mzingatie Ushauri uliotolewa Na
Mwenyekiti Mstaafu wa Simba Alhaj Rage Juu ya kupeleka suala la Klabu 6a
Yanga wa Kimataifa ya kusafiri , kumchezesha mchezaji halali aliye
ndani ya mkataba Hassan Kessy kinyume Na Sheria za Fifa.
Ushahidi wa TFF
ndio utakaotumika.Sh.milioni 50 Simba mnazo Na Kwa Maelezo ya Alhaji
Rage faini hiyo in ndogo hivyo hampaswi kuichukua.
Pia kumbukeni hao
Yanga wamekuwa wanawachezea rafu katika usajili wenu wamekuwa
wanawarubuni wachezaji wenu hivyo wakati umefika wa kuwafundisha Sheria
za sika.
Nilitegemea TFF pamoja Na hukumu ya Kessy ingekwenda mbali zaidi
kujiuliza Je Yanga wakati inamchezesha Kessy alikuwa in mchezaji wa
Simba au wa Yanga? Kama wa Simba adhabu yake nini? Lakini TFF
imenyamaza.
0 Maoni
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA