Katika utaratibu wa utekelezaji wa majukumu katika vikosi vya ulinzi
na usalama, askari hufata amri za viongozi wa juu hivyo iwapo katika
utekelezaji wa majukumu yao pakitokea madhara wakulaumiwa ni viongozi
waliotoa amri na wala si askari.
Vyombo vya haki za binadamu hulaumu askari wakitekeleza majukumu yao
lakini iwapo majambazi wakidhuru raia au askari vyombo hivyo hukaa kimya
.
Waziri wa mambo ya ndani ameyasema hayo akihojiwa moja kwa moja na kituo
cha Star TV katika kipindi cha Tuongee Asubuhi jimboni kwake Iramba
Singida.
0 Maoni
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA