Ofisi ya kijiji yachomwa moto huko Ruvuma

 Mkuu wa wilaya ya Songea Pololeti mgema akionyesha moja ya sehemu ambayo moto bado unawaka.


 Hivi ndivyo hali halisi ya ofisi ilivyoungua kwa ndani
 Nyaraka za serikali ya kijiji cha Mtyangimbole zikiwa zimeteketea kwa moto na kubaki majivu


Mkuu wa wilaya ya Songea Pololeti   Mgemaakizungumza na wakazi wa kijiji cha Mtyangimbole  baada ya zoezi la kuzima moto kumalizika. Kwa undani wa habari hii angalia hiyo video.

(Habari na RUVUMA TV)


Chapisha Maoni

0 Maoni