Piga kura swali letu la wiki hii ili tujue huduma zetu zinakufikia kwa kiwango gani

Ndugu wapenzi watembeleaji na wafuatiliaji wa Mahenga Blog, tumeona, pamoja na mambo mengine, tuweke swali ambalo litatusaidia kufahamu ni kwa jinsi gani tunakufikishia habari na kwa wakati gani.


Ombi letu ni wewe ndungu mtembeleaji kutembelea MAHENGA BLOG na kupiga kura kwenye swali linaloonekana kulia kwako. Chagua jibu sahihi kisha bofya, na tayari utakuwa umeshiriki. Maoni yako ni marekebisho yetu

Pia endelea kututumia maoni kwa barua pepe: hujumasr@gmail.com

Usisahau pia kudownload MAHENGA BLOG APP kwa kubofya HAPA

Chapisha Maoni

0 Maoni