Lugumi Aitafuna Serikali ya Magufuli..Apiga Bilioni 41 na Kutokomea Nazo Bila Kufanya Kazi..!!!



Huu wa safari hii ulisainiwa Idara ya Uhamiaji wa kufunga 'E imigration System'

Aliwasilisha mikataba miwili ya kazi moja kwa bei tofauti. Mmoja TZS bil. 37.1 na mwingine wa TZS Bil. 39.5. Hata hivyo wakati wa utekelezaji jumla ya kiasi cha TZS Bil. 41.5 kililipwa.

Wajumbe 2 wa kamati ya tathmini waligoma kusaini.

Vituo 36 kati 152 havikufungwa mfumo huo kinyume na mkataba

Baadhi ya vifaa vilikuwa vya gharama ya juu zaidi ya bei ya soko kwa zaidi ya TZS Bil. 5.964


Pakua mzigo mzima hapa (Ripoti ipo katika Lugha ya Kiswahili

Chapisha Maoni

0 Maoni