
Taarifa rasmi kuhusu Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuchukua usimamizi wa Benki ya Twiga hii hapa:
=======
Prof. Ndulu: Tumeamua kuchukua usimamizi wa Bank ya Twiga Bancorp kuanzia leo kutokana na upungufu wa mtaji wa benki hiyo.
Prof. Ndulu: BOT imekuchukua usimamizi wa benki ya Twiga baada ya kubaini upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na matakwa ya sheria ya mabenki.
Prof. Ndulu: Shughuli zote za kibenki za banki hiyo zitasimamiwa na msimamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania.
Prof. Ndulu: Tutaisimamia benki hiyo mpaka atakapopatikana muwekezaji wa kuendesha shughuli zote za kibenki hiyo.
Prof. Ndulu: BOT itaendelea kutoa huduma kwa benki ya Twiga kutahatarisha usalama wa amana za wateja wake.
Prof. Ndulu: BoT itaendelea kulinda maslahi ya wenye amana ktk mabenki kwa lengo la kuleta ustahimilivu ktk sekta ya fedha
0 Maoni
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA