Mke wa Mbunge huyo amekana kumtusi Mkuu huyo wa Mkoa baada ya kudai kuwa neno shoga sio tusi bali ni neno ambalo hulitumia kuwaita marafiki zake.
Amesema neno shoga kwenye mazingira ya Tanzania humaanisha rafiki.
MWANZA: Mfamasia wa Wilaya ashikiliwa kwa tuhuma za wizi wa dawa za Serikali
SERIKALI: Tuna mambo mengi, siyo mikopo pekee
Mkazi wa Mwanza, Emmanuel Mahumbi (38) jana amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu M…
0 Maoni
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA